Mechi Ya jana ilikuwa kati ya kidato cha VI Vs kidato cha III ,Ambapo kidato cha III Walishinda kwa kuwalaza kaka zao kwa kichapo cha bao 1~0 mchezo uliochezwa katika viwanja vya shuleni kwao.
Mchezo wa leo utakuwa ni wa mvuto wa kukata na shoka ambapo itakuwa kati ya kidato cha V Vs IV
Post a Comment