Mwenge wa Uhuru ukikimbizwa katika maeneo mbalimbali mara baada ya kuwasili wilayani Kishapu.
Kikundi cha ngoma cha Makirikiri kikionresha manjonjo yake katika ufunguzi wa mradi wa stendi kuu ya mabasi na kituo cha polisi eneo la Mhunze wilayani Kishapu wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru.



Post a Comment