0

  Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Josephine Matiro (kushoto) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Kishapu, Mhe, Nyabaganga Taraba mara baada ya kuwasili Kijiji cha Bubiki kabla ya kuanza kwa mbio zake.

  Mwenge wa Uhuru ukikimbizwa katika maeneo mbalimbali mara baada ya kuwasili wilayani Kishapu.

 Kikundi cha ngoma cha Makirikiri kikionresha manjonjo yake katika ufunguzi wa mradi wa stendi kuu ya mabasi na kituo cha polisi eneo la Mhunze wilayani Kishapu wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru.

Post a Comment

 
Top